• Tanzania
  • Rasilimali
  • Habari za Soko
  • Upatikanaji wa Masoko

Mwongozo wa habari wa haraka

Sera za kukuza ufikiaji wa Soko:

Upatikanaji wa Masoko nchini Tanzania

Soko la ndani la Tanzania linakua kwa kasi na fursa mpya. Ukuaji huo wa kasi unachangiwa na ongezeko la watu, maendeleo ya miundombinu na utashi wa kisiasa wa nchi.

Wanawake wana mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania ambapo wanamiliki sehemu kubwa ya biashara.

Kulingana na utafiti wa Benki ya Dunia , motisha kubwa ya kuendesha biashara miongoni mwa wanawake inatokana na kupungua kwa uwezo wa kununua wa wanaopata mishahara na kuongezeka kwa ukosefu wa ajira.

Licha ya kuwa wengi kuwekeza katika shughuli za kuzalisha mapato, wanawake bado hawana njia za uzalishaji kama vile mtaji, ardhi na mali ya familia. Pia wanakabiliwa na changamoto za kupata masoko ya bidhaa zao.

Ni muhimu kuhimiza idadi hii kubwa ya watu kupata njia za uzalishaji na masoko ya bidhaa kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.

Changamoto za Upatikanaji wa Soko

Changamoto zinazowakabili wanawake katika biashara ziko katika makundi manne: Maendeleo ya sekta binafsi, Miundombinu, Biashara na Utawala.

Mikakati ya Serikali ya Kukabiliana na Changamoto za Upatikanaji wa Soko

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inajitahidi kushughulikia suala la upatikanaji wa soko kwa njia ya udhibiti, kujenga uwezo, mabadiliko na mikakati mingineyo.

Vyanzo Vikuu vya Taarifa za Biashara nchini Tanzania

Taasisi za Umma na Binafsi zinazotoa taarifa juu ya upatikanaji wa masoko